
kusababisha uchovu,maumivu ya viungo na mwili na hata ugonjwa. Massage inaweza kufanywa na kila mtu(local massage) lakini mra nyingi massage za namna hii haziwi na ufanisi kwa kuwa hazitumii dawa maalumu ya kulainisha viungo/mwili. Fahamu kuwa kufanya massage ni kuuweka mwili wako katika hali nzuri na hivyo kuboresha afya yako.Kukaza k wa misuli kwa muda mrefu kunaweza kusababisha matatizo zaidi.Maumivu ya mgongo yakiwa endelevu pasipo kufanya massage yanaweza kuleta madhara zaidi.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni