Massage ikiwa kama njia ya kitaalamu ya kuondoa maumivu, uchovu na kutibu magonjwa mbalimbali,lakini bado kuna watu ambao wana mtazamo potofu juu ya massage
Hali hii husababishwa na sababu zifuatazo:
1.Kutokujua maana halisi ya massage 2.Baadhi ya watu wanaotumia mwavuli wa massage ili waweze kuficha MAOVU, (wanayotenda).Watu wa aina hii ndio wanaosababisha massage ionekane kitu kibaya kwa jamii.Na hivyo kuwafanya watu wafikirie kivingine(hasi).
Hali hii husababishwa na sababu zifuatazo:
1.Kutokujua maana halisi ya massage 2.Baadhi ya watu wanaotumia mwavuli wa massage ili waweze kuficha MAOVU, (wanayotenda).Watu wa aina hii ndio wanaosababisha massage ionekane kitu kibaya kwa jamii.Na hivyo kuwafanya watu wafikirie kivingine(hasi).
MASSAGE NI TIBA BORA YA ASILI KATIKA VIUNGO (PHYSIOLOGY)
tiba hii haijaanza mwaka jana au mwaka huu bali ni tiba iliyoanza tangu enzi za kale.





